كسانى كه دربارۀ الله [و دین او] پس از آن كه [دعوت او از سوی مردم منصف] پذيرفته شد، به مجادله مىپردازند، حجّتشان نزد پروردگارشان [باطل و] بىپایه است؛ خشم [الهی] گریبانگیرشان مىشود و عذابى سخت [در پیش] دارند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wale wanaojadili kuhusu Dini ya Mwenyezi Mungu niliyomtumiliza kwayo Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, baada ya watu kuikubali na kusilimu, hoja yao na mjadala wao, mbele ya Mola wao, ni zenye kutenguka na kuondoka. Na watashukiwa na adhabu kutoka kwa Mwenyezi Mungu hapa duniani, na huko Akhera watakuwa na adhabu kali, nayo ni Moto.