[مشرکان]، فرشتگان را كه بندگانِ [الله] رحمانند، مؤنث پنداشتند. آیا به هنگام آفرینش آنان حضور داشتند؟ سخنانشان ثبت میگردد و [در روز قیامت،] بازخواست خواهند شد.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na hawa washirikina waliwafanya Malaika ambao ni waja wa Mwenyezi Mungu kuwa ni wanawake. Je, wao walihudhuria wakati Mwenyezi Mungu Alipowaumba mpaka waamue kuwa wao ni wanawake? Ushahidi wao utasajiliwa, na wataulizwa kuhusu hilo kesho Akhera.