بلکه اینان [که در مکه آلوده به شرک هستند] و پدرانشان را [از نعمتهای دنیا] برخوردار كردم تا آنكه حق [= قرآن] و پیامبری روشنگر به سراغشان آمد؛
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Bali niliwastarehesha hawa washirikina wa watu wako, ewe mtume, na wazazi wao kabla yao kwa uhai, sikuwaharakishia adhabu kwa ukanushaji wao mpaka ikawajia Qur’ani na Mtume wa kuwabainishia wanachokihitajia katika mambo ya Dini yao.