But as soon as he came to them with Our signs, they laughed at them,
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na alipowajia na dalili zilizo wazi zenye kuonyesha ukweli wake katika ulinganizi wake, hapo Fir’awn na viongozi wa utawala wake wakawa wanazicheka zile hoja na mazingatio alivyokuja navyo Mūsā.