فرعون در میان قوم خود ندا سر داد و گفت: «اى قوم من، آیا فرمانروایىِ مصر در اختیار من نیست و این نهرها از دامنۀ قصرِ من جریان ندارد؟ آیا [قدرت و عظمتم را] نمىبینید؟
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na Fir’awn aliita mbele ya wakubwa wa watu wake kwa kujigamba na kujisifu kwa ufalme wa Misri, «Je, kwani mimi sina ufalme wa Misri na mito hii inayopita chini yangu? Kwani hamuoni utukufu wangu na nguvu zangu na unyonge wa Mūsā na umasikini wake?