[دوزخیان، نگهبان آتش را صدا میزنند و] فریاد برمیآرند: «اى مالک [كاش] پروردگارت كار ما را یكسره كند [و ما را بمیراند]». او میگوید: «نه، شما [در این عذاب] ماندگارید».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na hao wahalifu waliomkanusha Mwenyezi Mungu, baada ya Mwenyezi Mungu kuwatia kwenye moto wa jahanamu, watamwita Malik, mshika hazina za Moto kwa kusema, «Ewe Malik! Basi na Atufishe Mola wako, tupate kupumzika na haya tuliyonayo,” Hapo Malik awajibu, «Nyinyi ni wenye kukaa, hamna kutoka Motoni na hamna makimbilio ya kujiepusha nao.”