پس [ای پیامبر،] آنان را [به حال خود] بگذار تا یاوهگویی کنند و به بازى سرگرم باشند تا سرانجام، با روز موعود [= قیامت] مواجه شوند [و سزای اعمالشان را ببینند].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Basi waache, ewe Mtume, hao wenye kumzulia Mwenyezi Mungu urongo wavame kwenye ubatilifu wao na wacheze katika dunia yao mpaka wapambane na hiyo Siku yao ambayo wanaahidiwa kuwa wataadhibiwa: ima hapa duniani au kesho akhera au kote kuwili.