كسانی كه [مشركان] به جاى الله [به نیایش] مىخوانند، قادر به شفاعت نیستند؛ مگر افرادى كه به [کلمۀ توحید و] حق گواهى مىدهند، در حالیکه [نسبت به حقیقت آنچه بدان گواهی دادهاند] دانش و آگاهی دارند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na hawamiliki, wale ambao washirikina wanawaabudu, uwezo wa kumuombea yoyote mbele ya Mwenyezi Mungu isipokuwa wale waliyoishuhudia haki na wakakubali upweke wa Mwenyezi Mungu na unabii wa Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, na wakawa na yakini ya uhakika wa kile walichokikubali na kukitolea ushahidi.