[ای پیامبر] به مؤمنان بگو: «از كسانى كه به روزهاى الله [= روزهای پیروزی بر کفر و گرفتن انتقام از مشرکان] امیدى ندارند، درگذرند تا [الله در زمان مشخص، هر] گروهى را در برابر آنچه که انجام دادهاند سزا دهد».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Sema, ewe Mtume, uwaambie wenye kumuamini Mwenyezi Mungu na wakamfuata Mtume Wake, wawasamehe na kuwaachilia wale ambao hawana matarajio ya malipo mema ya Mwenyezi Mungu na hawaogopi adhabu Yake wanapowakusudia Waumini kuwaudhi na kuwakera, ili Mwenyezi Mungu Awalipe washirikina hawa kwa yale waliyoyachuma duniani ya madhambi na kuwaudhi Waumini.