هر گروه [بهشتی یا دوزخی]، درجاتى بر حسب اعمالشان دارند [تا حقى ضایع نگردد]؛ و الله اعمالشان را به تمام و کمال کیفر میدهد؛ بیآنكه در حقشان ستم شود.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na kila kundi la watu wema na watu waovu watakuwa tabaka mbalimbali mbele ya Mwenyezi Mungu Siku ya Kiyama, kwa matendo yao waliyoyatenda duniani, kila mmoja kulingana na daraja yake, ili Mwenyezi Mungu Awatekelezee malipo ya matendo yao. Na wao hawatadhulumiwa kwa kuongezewa maovu yao wala kupunguziwa mema yao.