[طوفانی است که] هر چیزى را به فرمان پروردگارش در هم مىكوبد»؛ آنگاه چنان [هلاک] شدند كه جز خانههاى [ویران] آنان، اثرى به چشم نمىخورد. ما بزهكاران را این گونه كیفر مىدهیم.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
«Unaangamiza kila kitu unachokipitia katika vitu ambavyo ulitumwa uviangamize kwa amri ya Mola wake na matakwa Yake.» Wakawa hakuna kinachoonekana chochote katika miji yao isipokuwa nyumba zao walizokuwa wakizikaa. Mfano wa malipo haya ndiyo tunayowalipa makafiri kwa sababu ya uhalifu wao na kupita kiasi kwao.