و هر کس ـ چه مرد و چه زن ـ که کارهای شایسته کند و مؤمن باشد، [همۀ] آنان وارد بهشت میشوند و به اندازۀ ذرۀ ناچیزی [حتی به اندازۀ شکافِ پشت هستۀ خرمایی نیز] به آنان ستم نخواهد شد.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na mwenye kufanya matendo mema, awe ni mwanamume au mwanamke, hali ya kuwa anamuamini Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, na haki Aliyoiteremsha, basi hao Mwenyezi Mungu Atawaingiza Peponi, nyumba ya starahe ya daima, na hawatopunguziwa chochote katika thawabu za matendo yao, hata kama ni kadiri ya kitone kilichoko kwenye koko ya tende.