پیامبرانى [فرستادیم] كه بشارتبخش و بیمدهنده بودند تا براى مردم پس از [بعثت] پیامبران، در مقابل الله [هیچ بهانه و] حجتى نباشد؛ و الله همواره شکستناپذیرِ حكیم است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Nimweatuma wajumbe kwa viumbe wangu wakatoe habari njema ya malipo yangu mema na waonye juu ya adhabu yangu, ili wanadamu wasiwe na hoja watakayoifanya ni kisingizio cha udhuru baada ya kutumiliza Mitume. Na daima Mwenyezi Mungu ni Mshindi katika mamlaka Yake, ni Mwingi wa hekima katika uendeshaji mambo Wake.