[الله] فرمود: «در این صورت، [ورود به] آن [سرزمین مقدس] تا چهل سال بر آنان حرام شده است؛ [و پیوسته] در زمین سرگردان خواهند بود؛ پس بر این گروهِ نافرمان افسوس مخور».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Mwenyezi Mungu Alisema kumwambia Nabii Wake Mūsā, amani imshukie, «Hakika hiyo ardhi takatifu ni haramu kwa hawa Mayahudi kuiingia kwa muda wa miaka arubaini, watakuwa wakitanga katika ardhi wakiwa kwenye hali ya mshangao. Basi usiwasikitikie, ewe Mūsā, watu waliotoka kwenye utiifu wangu.»