اما هر کس بعد از [گناه و] ستمکردنش توبه کند و [اعمال خود را جبران و] اصلاح نماید، بیتردید الله توبهاش را میپذیرد. به راستی که الله آمرزندۀ مهربان است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Basi yule atakayetubia baada ya wizi wake na akawa mwema katika vitendo vyake vyote, kwa hakika Mwenyezi Mungu Ataikubali toba yake. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuwasamehe waja Wake, ni Mwenye huruma kwao.