آنان یکدیگر را از [گناهان و] کار[های] زشتی که انجام میدادند نهی نمیکردند. به راستى، چه بد بود آنچه انجام میدادند!
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Walikuwa, Mayahudi hawa, wakiyafanya maasia waziwazi, wakiridhika nayo na hawakuwa wakikatazana wao kwa wao maovu yoyote waliyoyafanya. Na hili ni katika vitendo vyao viovu. Na kwa hilo walistahiki kufukuzwa kwenye rehema ya Mwenyezi Mungu Aliyetukuka.