و کسانی که کافر شدند و آیات ما را تکذیب کردند، آنان اهل آتش [دوزخ]ند [و] جاودانه در آن میمانند؛ و چه بد [سرانجام و] جایگاهی است!
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wale ambao wanapinga kwamba Mwenyezi Mungu Ndiye Mola wa haki na wakazikanusha dalili za kuwa Yeye Ndiye Mola na hoja za uungu Wake Alizowatuma nazo Mitume Wake, hao ni watu wa Motoni, ni wenye kukaa humo milele. Moto huo wa Jahanamu ni marejeo maovu mno watakayofikia.