کسانی که کافر شدند، گمان بردند که هرگز برانگیخته نخواهند شد. بگو: «آری؛ به پروردگارم سوگند، یقیناً [همه] برانگیخته خواهید شد؛ آنگاه از آنچه میکردید به شما خبر خواهند داد؛ و این [کار] بر الله آسان است».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Walidai wale waliomkanusha Mwenyezi Mungu kwa ubatilifu kwamba wao hawatatolewa kwenye makaburi yao baada ya kufa. Waambie, ewe Mtume, «Ndio. Naapa kwa Mola wangu! Mtatolewa makaburini mwenu mkiwa hai, kisha mtapewa habari ya yale mliyoyafanya duniani. Na hilo kwa Mwenyezi Mungu ni sahali na rahisi.