ای پیامبر، با کافران و منافقان جهاد کن و بر آنها سخت بگیر، و جایگاهشان جهنم است؛ و چه بد جایگاهی است!
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Ewe Nabii! Pigana jihadi na wale waliouonyesha ukafiri waziwazi na wakautangaza, na pigana nao kwa upanga, na pigana jihadi na wale waliouficha ukafiri na kuufinika kwa hoja na kwa kusimamisha hukumu za Sheria na vitambulisho vyaa Dini. Na utumie ukali na ugumu katika kupigana jihadi na makundi mawili hayo. Na makazi yao ambayo watakwenda kukaa huko Akhera ni moto wa Jahanamu. Na ni marejeo maovu mno hayo watakayoyarejea!