[ای پیامبر،] قوم تو آن [= قرآن] را دروغ شمردند، در حالى كه آن [کتاب،] حق است. [به کافرانِ قومت] بگو: «من [مراقب و] کارگزارِ شما نیستم.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na waliikanusha hii Qur’ani makafiri kati ya watu wako, ewe Mtume; nayo ni kitabu chenye ukweli katika kila kilichokuja nacho, Waambie, «Mimi si mlinzi wala mtunzi juuu yenu. Mimi ni mjumbe wa Mwenyezi Mungu, nawafikishia nyinyi yale niliotumwa nayo kwenu,.