[سرانجام، آنان] به کیفرِ گناهانشان [همگی] غرق شدند؛ آنگاه در آتش [دوزخ] درآورده شدند و در برابر [عذاب] الهی، یاور [و مددکاری] برای خود نیافتند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Kwa sababu ya dhambi zao na ukakamavu wao juu ya ukafiri na uasi, walizamishwa kwa mafuriko na wakaingizwa baada ya kuzamishwa kwenye Moto unaowakia sana na kuchoma, na wasimpate, badala ya Mwenyezi Mungu, mwenye kuwaokoa au kuwaepushia adhabu ya Mwenyezi Mungu