و اینکه ما یقین داریم که هرگز نمیتوانیم در روی زمین، الله را عاجز و ناتوان کنیم؛ و هرگز با گریز نمیتوانیم او را ناتوان سازیم [و راه فراری از عذابش نداریم].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
«Na kwamba sisi tuna yakini kuwa mwenyezi Mungu Ana uweza juu yetu, na sisi tuko kwenye mkamato Wake na mamlaka Yake; hatuwezi kumponyoka Anapotaka kutufanya jambo popote pale tulipo. Na hatutaweza kuyahepa mateso Yake kwa kukimbila kwenda mbinguni iwapo Anatutakia mabaya.