Yet when the servant of Allah1 stood up calling upon Him ˹alone˺, the pagans almost swarmed over him.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na kwa hakika Aliposimama Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, kumuabudu Mola wake, walikaribia majini kumwangukia wakiwa makundi yaliyojikusanya na kupandana kwa kusongamana sana ili wapate kuisikia Qur’ani kutoka kwake