[وقتی مردم به این قرآن که از جانب پروردگارشان نازل شده است ایمان نمیآورند،] پس به کدام سخن دیگری غیر از آن ایمان خواهند آورد؟
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Iwapo wao hawataiamini hii Qur’ani, basi wataamini kitabu gani na maneno gani baada yake? Na Qur’ani yenyewe ni Kitabu kilichobainisha kila kitu, kilicho wazi katika hekima zake, hukumu zake na habari zake, chenye kushinda katika matamko yake na maana yake.