[ابلیس] گفت: «پس به خاطر آنکه مرا در گمراهی [و هلاکت] افکندی، من نیز بر سر راه مستقیم تو برای [فریب] آنان مینشینم،
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Iblisi akasema, Mwenyezi Mungu Amlaani, «Kwa sababu ya kuwa wewe umenipoteza, nitafanya bidii katika kuwapoteza binadamu wawe kando ya njia yako iliyolingana sawa na nitawazuia wao wasiuuandame Uislamu ambao wanasibiana na umbile lao ulilowaumbia.