چه زشت است داستان گروهى كه آیات ما را تکذیب کردند و به خویش ستم نمودند!
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Ni mfano mbaya ulioje! Mfano wa watu waliokanusha hoja za Mwenyezi Mungu na dalili Zake wakazikataa na hali kwamba ni nafsi zao wenyewe walikuwa wakizidhulumu kwa sababu ya kukanusha kwao hoja hizi na dalili.