و [ای مشرکان،] اگر آنها [= معبودها] را به [راه] هدایت دعوت کنید، از شما پیروی نمیکنند. چه آنها را دعوت کنید و چه خاموش باشید، برایتان یکسان است [و پاسخی نخواهید شنید].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na mnapowalingania, enyi washirikina, masanamu hawa ambao mliwaabudu badala ya Mwenyezi Mungu kwenye uongofu, hawasikii ulinganizi wenu wala hawawafuati nyinyi; inalingana sawa kuwalingania au kuwanyamazia. Kwani wao hawasikii wala hawaoni wala hawaongozi wala hawaongozwi.