و هنگامی که چشمانشان متوجه اهل دوزخ میشود، میگویند: «پروردگارا، ما را با گروه ستمکاران [در یکجا] قرار نده».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na yatakapogeuzwa macho ya watu wa Al-A’rāf upande wa watu wa Motoni watasema, «Ewe Mola wetu, usitufanye kuwa pamoja na watu madhalimu» kwa ya ushirikina wao na ukafiri wao.