But those who believe and do good will have a never-ending reward.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Lakini wale wanaomuamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakatekeleza amri waliyofaradhiwa na Mwenyezi Mungu watakuwa na malipo, Siku ya Akhera, yasiyokatika wala kupungua.