و چون آیات ما بر آنان خوانده شود، میگویند: «به خوبى شنیدیم. اگر مىخواستیم، ما نیز قطعاً همانند این [سخنان] را مىگفتیم. این [قرآن، چیزی] نیست، مگر افسانههاى [خیالی] پیشینیان».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na pindi wanaposomewa, hawa ambao walimkanusha Mwenyezi Mungu, aya za Qur’ani tukufu, wao husema kwa ujinga wao na kuikejeli kwao haki, «Tumeshalisikia hili hapo nyuma, na lau tunataka tungalisema maneno yafananayo na hii Qur’ani. Haikuwa Qur’ani hii unayotusomea, ewe Muhammad, isipokuwa ni maneno ya urongo ya watu wa kale.