و [ای پیامبر،] اگر در جنگ بر آنان دست یافتی، چنان آنان را در هم بکوب که مایۀ عبرت دیگران گردد؛ باشد که [دیگران] پند گیرند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Pindi utakapopambana na hawa, wanaovunja ahadi na mapatano, katika vita, wape adhabu ambayo itatia kicho kwenye nyoyo za wegine na itaitawanya mikusanyiko yao, huenda wao wakazingatia wasiwe na ujasiri wa kufanya kama yale waliyoyafanya waliotangulia.