پس [با این حال،] اگر توبه کردند و نماز برپا داشتند و زکات پرداختند، برادران دینیِ شما [مسلمانان] هستند؛ و ما آیات خود را برای گروهی که میدانند، به تفصیل بیان میکنیم.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na iwapo watakomeka na ibada ya asiyekuwa Mwenyezi mungu, wakalitamka neno la kumpwekesha, wakajilazimisha na sheria za Kiislamu za kusimamisha Swala na kutoa Zaka, basi hao ni ndugu zenu katika Uislamu. Na tunazieleza waziwazi aya na kuzifafanua kwa watu wenye kufaidika nazo.