و اگر [به راستى] ارادۀ رهسپاری [به قصد جهاد] داشتند، قطعاً ساز و برگی برایش فراهم مىکردند؛ ولى الله رهسپاریِ آنان را [برای جهاد در رکاب تو] نپسندید؛ پس آنان را منصرف نمود و [به آنان] گفته شد: «با خانهنشینان بمانید».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na lau wanafiki walitaka kutoka pamoja na wewe, ewe Nabii, kwenye jihadi, basi wangalijiandaa kwa matayarisho ya vyakula na vipando. Lakini Mwenyezi Mungu Amechukia kutoka kwao, ndipo ikawa ni uzito kwao kutoka, kwa mapitisho na Makadirio Yake, ingawa kisheria Amewaamrisha, na wakaambiwa, «Bakieni nyuma pamoja na waliokaa miongoni mwa wagonjwa, madhaifu, wanawake na watoto.»