Make no excuses! You have lost faith after your belief. If We pardon a group of you,1 We will punish others for their wickedness.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Msitoe sababu, enyi mkusanyiko wa wanafiki! Kwani hakuna faida ya kutoa udhuru kwenu. Hakika mumekufuru kwa maneno haya mliyoyafanyia shere. Iwapo tutalisamehe kundi miongoni mwenu lililotaka msamaha na likatubia kidhati, tutaliadhibu kundi la watu wengine kwa sababu ya uhalifu wao wa kusema maneno haya maovu ya makosa.