و برخی از اعراب [بادیهنشین] هستند كه آنچه را [در راه الله] هزینه مىكنند، خسارتى [براى خود] مىدانند و پیشامدهای بد را برایتان انتظار میکشند [تا از شما رهایی یابند]. پیشامدِ بد بر خودشان باد؛ و الله شنواى داناست.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na miogoni mwa Mabedui kuna wanaohesabu wanachokitoa katika njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni kodi na ni hasara, hawatazamii, kwa kile wakitoacho, thawabu wala kujikinga na adhabu, na wana hamu mupatwe na misiba na maafa. Lakini mabaya yatawazunguka wao, sio Waislamu. Na Mwenyezi Mungu ni Msikizi wa wanayoyasema, ni Mjuzi wa nia zao mbaya.