[به موسی وحی کردیم که:] «بندگانم را شبانه [از مصر] بیرون ببر؛ زیرا [سپاه فرعون] شما را تعقیب خواهند کرد؛
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Basi enda na waja wangu waliokuamini, wakakusadiki na wakakufuata, ewe Mūsā, katika kipindi cha usiku, kwani nyinyi mtafuatwa na Fir’awn na askari wake. Na nyinyi mtaokolewa, na Fir’awn askari wake watazama.