[بسیارى از مردم] شهرهاى پیرامون شما [مكّیان] را هلاک كردیم؛ و[لى قبلاً] نشانهها [و دلایل توحید] را به شکلهای مختلف در میان آوردیم؛ باشد که [از کفر و گمراهى] بازگردند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hakika tuliiangamiza miji iliyokuwa pambizoni mwenu, enyi watu wa Makkah, kama ile ya kina 'Ād na Thamūd, tukazifanya kuta za nyumba za miji hiyo zimeanguka na kulalia sakafu zake zilizovunjika, na tuliwabainishia watu wa miji hiyo aina za hoja na dalili wapate kurudi nyuma na kuyaacha yale waliokuwa nayo ya ukanushaji Mwenyezi Mungu na aya Zake.