[ای پیامبر، به منافقان] بگو: «اگر از مرگ یا کشته شدن فرار کنید، هرگز سودی به حالتان ندارد؛ و در آن صورت نیز [از زندگی دنیا] جز اندکی بهرهمند نمیشوید».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Sema, ewe Nabii, kuwaambia hawa wanafiki, «Kukimbia kwenu vitani kwa kuogopa kufa au kuuawa, huko hakutachelewesha muda wenu wa kuishi katika dunia hii, na mkikimbia hamtastarehe katika dunia hii isipokuwa kwa kadiri ya umri wenu uliowekewa kikomo, nacho ni muda mchache sana ukilinganishwa na Akhera.»