و ما دلها و دیدگانشان را [از درک حقایق] برمىگردانیم، [در نتيجه، به معجزات ما ايمان نمىآورند] چنانكه نخستین بار به آن ایمان نیاوردند. و آنان را در [نافرمانی و] طغیانشان سرگشته رها میکنیم.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na tutazigeuza nyoyo zao na macho yao, tuweke kizuizi baina yake na kunufaika na alama za Mwenyezi mungu, wasiziamini kama walivyokuwa hawakuziamini aya za Qur’ani zilipoteremka kwa mara ya kwanza, na tutawaacha wao wameduwaa katika kumuasi kwao Mwenyezi Mungu, hawaongoki kwenye haki na usawa.