و [چنین کردیم تا آنان را بیازماییم، خواستیم] تا دلهای كسانى كه به آخرت ایمان نمىآورند، به آن [سخن فریبنده] بگراید و آن را بپسندد و هر گناهی که میخواهند مرتکب شوند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na ili zielekee huko nyoyo za makafiri ambao hawaamini maisha ya Akhera wala hawayafanyii matendo ya kuwafaa, na ili nafsi zao zipate kuyapenda, na ili wapate kuyafanya maovu ambayo wao ni wenye kuyafanya. Katika haya, pana onyo kubwa kwao.