و این گونه در هر شهرى بزرگان گناهکارش را مىگماریم تا در آن به نیرنگ بپردازند [و مردم را از راه الله بازدارند]؛ و[لى] آنان جز به خود نیرنگ نمىزنند و [این حقیقت را] درک نمىكنند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na mfano huu uliopatikana kwa viongozi wa makafiri huko Maka wa kuzuia dini ya Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, tumeweka katika kila mji watu waovu wanaongozwa na wakubwa wao, ili wapate kufanya vitimbi humo kwa kuzuia dini ya Mwenyezi Mungu; na wao hawazifanyii vitimbi isipokuwa nafsi zao, na wala hawalihisi hilo.