[ای انسان،] اگر الله [بخواهد] زیانی به تو رسانَد، هیچ کس جز او برطرفکنندۀ آن نیست؛ و اگر [اراده کند که] خیری به تو رسانَد، [کسی بازدارندۀ آن نیست] پس او بر همه چیز تواناست.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na Akikupatia Mwenyezi Mungu jambo la kukudhuru, kama ufukara na ugonjwa, hakuna mwenye kuliondoa hilo isipokuwa Yeye; na Akikupatia zuri, kama utajiri na afya, hakuna mwenye kuondoa wema wake na hakuna mwenye kuzuia mapitisho Yake, kwani Yeye, Aliyetukuka na kuwa juu, ni muweza wa kila kitu.