[ای پیامبر،] به یقین ما مىدانیم كه آنچه [مشرکان] مىگویند، تو را سخت غمگین مىكند. در واقع، آنان [در دل،] تو را تكذیب نمىكنند؛ بلکه ستمكاران [با آنکه حقیقت را میدانند] آیاتِ الله را انكار مىكنند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hakika sisi tunajua kwamba msimamo wa kaumu zako wa kukukanusha waziwazi unakutia huzuni moyoni mwako. Basi subiri na ujitulize. Kwani wao hawakukanushi wewe kutoka ndani ya roho zao; wao waamini ukweli wako, lakini wao kwa udhalimu na uadui walionao, wanazikataa hoja zilizo wazi zinazoonyesha ukweli wako, ndipo wakakufanya mrongo kwa yale uliyokuja nayo.