[ای پیامبر،] بیتردید، پیش از تو [نیز پیامبرانی را] به سوی امتها[ی پیشین] فرستادیم و آنان [= امتها] را به تنگدستی و ناخوشی دچار ساختیم؛ باشد که [به درگاه الهی فروتنی و] تضرع کنند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hakika tuliwatuma, ewe Mtume, Wajumbe kuwaendea makundi ya watu kabla yako kuwalingania kwa Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, wakawakanusha na tukawapa mtihani katika mali yao, kwa ufukara mwingi na dhiki za maisha, na tukawapa mitihani katika miili yao, kwa magonjwa na kuumwa, ili wajidhalilishe kwa Mola wao na wanyenyekee Kwake Peke Yake kwa ibada.