پس چرا هنگامی که عذاب ما به آنان رسید تضرع نکردند؟ ولى [واقعیت این است که] دلهایشان سخت شده است و شیطان آنچه را انجام مىدادند برایشان آراسته است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Basi si ilipowajia, umma hawa wenye kukanusha, mitihani yetu wajidhalilishe kwetu. Lakini wao nyoyo zao zilisusuwaa na Shetani aliwapambia yale ambayo waliokuwa wakiyafanya ya maasia na wakiyaleta ya ushirikina.