[ای پیامبر، به مشرکان] بگو: «اگر آنچه که به شتاب خواستارش هستید نزد من بود، [بر سرتان فرود میآوردم و] کار میان من و شما به پایان میرسید؛ و[لی] الله به [حال] ستمکاران داناتر است [و به آنان مهلت میدهد]».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Sema, ewe Mtume, «Lau mimi nina mamlaka ya kuwateremshia adhabu ambayo mnaitaka kwa haraka, ningaliiteremsha kwenu, na uamuzi, baina yangu mimi na nyinyi, ungalitoka. Lakini hilo liko kwa Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka. Na Yeye Anawajua zaidi madhalimu ambao wamepita mipaka yao wakawashirikisha wengine pamoja na Yeye.