هر خبرى سررسیدی [برای وقوع] دارد؛ و [به زودی] خواهید دانست [که سرانجامتان چگونه است]».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Kila habari ina kituo cha kutulia na kikomo cha kukomea, hapo haki na batili zitafunuka. Na mtajua, enyi makafiri, mwisho wa jambo lenu, itakaposhuka adhabu ya Mwenyezi Mungu kwenu.