و [یاد کن از] هنگامی که ابراهیم به پدرش ـ آزرـ گفت: «آیا بُتها را معبود [خویش] میگیری؟ به راستی که من تو و قومت را در گمراهیِ آشکاری میبینم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na kumbuka, ewe Mtume, mahujiano ya Ibrāhīm, amani imshukiye, na baba yake Āzar. Ibrāhīm alipomwambia, «Je, unawafanya masanamu ni waungu, unawaabudu badala ya Mwenyezi Mungu Aliyetukuka? Mimi nakuona wewe na watu wako muko kwenye upotevu uliyo wazi, muko kando na njia ya haki.