پس هنگامی که خورشید را درخشنده دید گفت: «این پروردگارِ من است. این بزرگتر است»؛ اما وقتی که غروب کرد گفت: «ای قوم، من از آنچه [برای الله] شریک قرار میدهید بیزارم.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Alipoliona jua limechomoza, alisema kuwaambia watu wake, «Hili ni mola wangu, hili ni kubwa kuliko nyota na mwezi.» Lilipozama, alisema kuwaambia watu wake, «Mimi nimejiepusha na ushirikina mulionao wa kuabudu mizimu, nyota na masanamu mnayoabudu badala ya Mwenyezi Mungu Aliyetukuka.