به راستی که من حقگرایانه دین [و عبادتِ] خویش را برای کسی خالص کردهام که آسمانها و زمین را پدید آورده است و هرگز در زمرۀ مشرکان نیستم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
«Mimi nimeelekea kwa uso wangu, katika ibada, kwa Mwenyezi Mungu, Aliyeshinda na kutukuka, Peke Yake, kwani Yeye Ndiye Aliyeumba mbingu na ardhi, nikiwa kando na ushirikina na nikielekea kwenye kumpwekesha Mwenyezi Mungu. Na mimi sikuwa ni miongoni mwa wenye kuwashirikisha wengine pamoja na Mwenyezi Mungu.»